Fedha hizo zitatolewa na hazina ya kukinga Hatari ya Kimazingira (GRMF) na zitatumiwa kufadhili asilimia 40 ya gharama zinazohusiana na uchimbaji wa visima kwenye maeneo matatu ya Silali, Paka and Korosi
Kampuni hiyo inalenga kuzalisha megawati 300 za kawi kutoka eneo hilo kati ya sasa na mwaka 2030.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |