Tayari impata dola milioni 1.5 za kufadhili hasa vijana kuingia kwenye sekta hiyo.
Waziri wa biashara Amelia Kyambadde, amesema mradi huo utatekelezwa na wizara ya utalii.
Kyambadde amesema fedha hizo dola milioni 1.5 zitatumika kuboresha uwezo na ubora kwenye sekta hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |