Butali ya kocha Dennis Owoka imebeba taji hilo baada ya kuwashinda Wazalendo mabao 2-1 katika mchezo wa fainali ya kusisimua.
Klabu ya Butali inayojivunia kusajili wachezaji kadhaa kujiandalia msimu mpya wa Ligi Kuu, ilivuna ufanisi huo kupitia mabao ya sajili mpya Calvin Kanu na Moses Ademba naye Dennis Mwanzo aliipatia Wazalendo bao la kufuta machozi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |