Afisa habari na mawasiliano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Cliford Mario Ndimbo amesema mjini Dar es Salaam kwamba baada ya uchunguzi uliofanyika kuanzia Julai 11 mwaja jana, Mbaga amekutwa na hatia ya kuhusika kwenye upangaji wa matokeo ikiwa ni kinyume na kanuni za maadili za FIFA.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |