KCCA inaongoza msimamo wa ligi hiyo kwa kuwa na alama 45 huku ikiiacha Vipers kwa tofauti ya alama tatu. Vipers iko nafasi ya pili kwa kuwa na alama 42, Mbarara City yenyewe iko nafasi ya tatu na nafasi ya nne inashikiliwa na URA. Nyamityobora yenyewe inashika mkia wa msimamo wa ligi hiyo kwa kuwa na alama 12.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |