Madrid iliyokuwa nyumbani kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu imeruhusu kichapo hicho na kuongeza uteja dhidi ya wakali hao wa Catalunya.
Mabao ya Barca ymefungwa na Luis Suarez aliyefunga mabao 2 na Raphael Varane goli moja. Matokeo hayo sasa yanaipeleka Barcelona fainali ya michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |