Katibu wa timu ya Tabata Houth inayoshiriki ligi hiyo Clement Godfrey Makoyola amesema timu yake imejiandaa vyema na kuwa watakuwa tishio kwa wapinzani wao.
Amewataka watanzania kuanza kuunga mkono mchezo huo kama ilivyo soka la kawaida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |