Agala anatwaa unahodha kutoka kwa mshambuliaji Evelyne Makuto aliyewaongoza Prisons kunyakua ubingwa wa ligi kuu ya voliboli (KVF) mwishoni mwa msimu uliopita.
Kocha wa timu hiyo Josp Barasa amesema kikosi chake kiko imara na tayari kwa mashindano hayo, na kuahidi kufanya vizuri na kuzoa mataji mengi zaidi msimu huu hususani katika ulingo wa kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |