Burundi inahitaji ushindi ama sare yeyote kwenye mchezo huo wa kundi C ili kujihakikishia tiketi ya kufuzu kombe la mataifa ya Afrika baadaye mwaka huu.
Wachezaji Amis Tambwe anayechezea timu ya Yanga na mwenzake Blaise Birigimana wanaokipiga nchini Tanzania hawajaitwa katika kikosi hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |