Kimanzi, amewashinda makocha wengine Bernard Mwalala wa Bandari FC na Hassan Oktay wa Gor Mahia, ambao pia walikuwa wanawania tuzo hiyo.
Hii ni mara ya tatu kwa Kimanzi, alikuwa kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars, kushinda tuzo hiyo. Mkufunzi huyo pia alishinda tuzo ya kwanza ya kocha bora iliyoanzishwa mwezi machi mwaka 2016 kabla ya kushinda tena tuzo ya pili ya mwezi machi uliofuatia 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |