Mshambuliaji huyo raia wa Ubelgiji amejikuta akikosolewa na mashabiji wa Manchester United msimu huu kutokana na kiwango chake kulegalega kwa kupanda na kushuka.
Hadi sasa Lukaku amefunga mabao 10 tu na kumfanya kocha Ole Gunnar Solskjaer kuamua kumchezesha pembeni kwa sababu katikati amekuwa hana maajabu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |