Klabu hiyo imefanikiwa kunyanyua taji hilo kwa kumaliza wakiwa kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na jumla ya alama 32 na kumaliza msimu wa ligi hiyo, iliyoshirikisha timu tisa za wanawake, bila kupoteza mechi hata moja.
Kutokana na ubingwa huo, timu hiyo wamekata tiketi ya kuiwakilisha Kenya kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika itakayofanyika Oktoba mwaka huu nchini Morocco.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |