Ongezeko hilo kulingana a benki hiyo litatokana na kuongezeka kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje.
Serikali na sekta ya kibinafsi zimechangia kuongezeka kwa bidhaa zinazoagizwa hasa kuelekea uwekezaji kwenye sekta ya mafuta.
Na kulingana na benki hiyo, mwanya huo unatarajiwa kuongezeka hadi dola bilioni 2.1 mwishoni mwa kipindi cha fedha cha 2019/20.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |