Kiwanda cha chumvi cha Katwe kiliporomoka miaka ya 70 licha ya kuwa miongoni mwa sekta zenye mapato makubwa enzi hizo.
Mkurungezi wa uwekezaji kwenye benki hiyo Mahamoud Andama, amesema sasa Uganda huagiza chumvi kutoka Kenya na hivyo kutumia mabilioni ya fedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |