Kongamano hilo limefunguliwa hivi leo na litaendelea hadi tarehe 7.
Chama cha wauzaji mbegu cha Afrika kimesema kuwa kongamano hilo litatoa fursa kwa washiriki kujadili biashara kwenye viwango vya kitaifa na kimataifa.
Pia wakati wa kongamano hilo wanasayansi watawasilisha matokeo ya utafiti kuhusu wadudu wanaoathiri kilimo barani Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |