• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Bei ya kahawa ya Kenya yapungua kwa asilimia 14

    (GMT+08:00) 2019-03-07 20:08:10

    Bei ya kahawa nchini Kenya imepungua kwa asilimia 14 kwenye mnada wa Mombasa, huku pia bei katika soko la kimataifa ikidorora.

    Ripoti kutoka kwa idara ya soko la kahawa ya Nairobi inaonyesha kuwa gunia la kilo hamsini la kahawa liliuzwa kwa shilingi 15,600 tu ikilinganishwa na 18,700 za awali.

    Bei ya kahawa kote duniani imekuwa ikishuka tangu mwezi Novemba mwaka jana ilipofikia senti 113 na baadaye senti 98.

    Na taakwimu kutoka kwa ofisi kuu ya kahawa zinaonyesha kuwa wakulima walipata dola milioni 41 kati ya Otkoba na Januari mwaka huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako