Tume ya mawasiliano nchini humo wameongezeka kwa milioni 1.6 kati ya Juni na Septemba mwaka uliopita.
Tume hiyo imesema imepata taakwimu kutoka kwa laini mpya za simu zilizosajiliwa na kampuni mbalimbali za mawasiliano nchini humo.
kampuni ya MTN ina mgao wa asilimia 46 wa soko Airtel asilimia 44 nayo Africell ikiwa na asilimia 9.5.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |