Chama cha wadau wa utalii nchini humo pia kimesema kitatoa mafunzo kwa madereva hao.
Naibu mwenyekiti wa chama hicho Herbert Byaruhanga, amesema madereva ndio hutumia muda mwingi na watalii na hivyo wanahiytaji mafunzo maalum ili kukuza sekta hiyo.
Uganda imekuwa mbioni kuongeza idadi ya watalii ikilenga watalii milioni 1.2 mwishoni mwa mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |