Jana usiku zimechezwa mechi za kwanza za hatua ya 16 bora, Chelsea wakiwa nyumbani wameikaribisha Dynamo Kyiv kwa kuipiga mabao 3-0, mahasimu wa Chelsea washika bunduki Arsenal walikuwa ugenini kwa Rennes na kukubali kichapo cha magoli 3-1, Valencia wao wametoka kifua mbele kwa kuifunga FC Krasnodor bao 2-1, wakati Sevilla zimetoshana nguvu ya bao 2-2 na Slavia Prague , Villareal wameibamiza Zenit St. Petersburg kwa jumla ya bao 3-1, Inter Milan imetoka sare ya bila kufungana na Eintracht Frankfurt, Napoli imefanikiwa kushinda 3-0 dhid ya Salzburg na Dinamo Zagreb imetoaka na ushindi kiduchu wa goli 1-0 dhidi ya Benfica.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |