LeBron James wa LA Lakers amethibitisha yeye ni gwiji la mpira wa kikapu duniani bada ya kumpita nyota mwingine Michael Jordan kwa pointi katika ufungaji katika ligi ya mpira wa kikapu ya Marekani (NBA).
James alikuwa anashikilia nafasi ya 5 lakini sasa yuko nafasi ya nne na kama ataendelea anaweza kufikia nafasi ya tatu kwa kuwa Jordan na Kobe Bryant walishastaafu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |