• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda: Rwanda kupata misaada ya kilimo kutoka Uholanzi

    (GMT+08:00) 2019-03-08 19:20:17
    Zaidi ya wakulima 44,000 nchini Rwanda watafaidika na miradi ya kilimo, uwekezaji wa wastani na lishe.

    Miradi hiyo itafadhiliwa kwa kipindi cha miaka minne na ubalozi wa uholanzi nchini humo kwa gharama ya euro milioni 16.2.

    Balozi wa Uholanzi nchini humo bibi Frédérique de Man amesema kilimo ni muhimu kwa uchumi wa Rwannda na hivyo Uholanzi itaendelea kutoa msaada.

    Mwaka uliopita Rwanda ilipata dola milioni 25 kutokana na mauzo ya bidhaa za kilimo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako