Shirika la habari la Saba linalodhibitiwa na waasi, limeripoti kuwa wanawake wasiopungua 20 na mtoto mmoja waliuawa Jumapili katika shambulizi la anga lililoongozwa na Saudi Arabia katika mkoa wa Hajjah, kaskazini mashariki mwa Yemen. Shambulizi hilo lililenga nyumba moja inayotumiwa na wanawake kujificha na kuepuka mapigano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |