Katika pambano hilo lililopigwa usiku wa kuamkia jumapili, Bruno aliibuka mshindi kwa alama za majaji wote watatu baada ya mabondia hao kumaliza raundi ya 12.
Kabla ya pambano hilo lililopigwa kwenye ukumbi wa Windsor jijini New South Wales, Bruno alicheza kwa kiwango bora na kufanikiwa kumdhibiti mpinzani wake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |