• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Timu zilizoaga na kufuzu robo fainali za Klabu Bingwa Afrika

    (GMT+08:00) 2019-03-11 09:34:11

    Tayari baadhi ya timu zimefuzu robo fainali katika makundi mbalimbali ya michuano ya klabu bingwa barani Afrika huku zingine zikifungasha virago. Katika kundi B, mabingwa watetezi Esperance Sportive de Tunis tayari wamefuzu robo fainali kwa kuongoza kundi lake kwa alama 11 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine.

    Kundi C timu ya Ismaily ya Misri tayari imeaga michuano hiyo baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na TP Mazembe ya DRC. Kundi A, Mamelodi Sunddowns ya Afrika Kusini inaongoza kwa kuwa na alama 7, kundi C timu ya CS Constantine inaongoza kundi hilo kwa kuwa na alama 10 na kundi D, JS Saoura imepanda na kushika usikani wa kundi lake baada ya kushinda mechi ya juzi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako