Dkt. Mwakyembe amesema ni aibu kwa viongozi wa TFF ambao ni baba wa soka nchini humo kushindwa kujitokeza katika michuano hiyo ambayo alidai kwa upande wa soka vilionekana vipaji vingi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |