Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC, Hajji Sunday Manara amesema kwamba kiingilio cha chini katika mchezo huo kitakuwa ni Sh. 3,000 kwa majukwaa ya mzunguko.
Manara amesema kwamba viingilio vingine ni Sh. 20,000 kwa VIP A, Sh. 10,000 kwa VIP B na Sh. 100,000 kwa tiketi maalum za Platinums.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |