Simbu amefikia viwango hivyo baada ya kukimbia muda mrefu kwenye mbio za ziwa Biwa zilizofanyika mwishoni mwa juma nchini Japan. Katika mbio hizo, Simbu alitumia saa 2:08:27 na kufanikiwa kuvunja rekodi yake aliyoiweka kwenye michuano ya Olimpiki ya Rio mwaka 2016.
Kwa matokeo hayo sasa Simbu amejihakikishia nafasi ya kutetea medali yake kwenye mbio za dunia msimu huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |