Wakati huo huo, Manchester City wameimwagia mvua ta magoli Schalke 04 ya Ujerumani kwa mabao 7-0
Tayari wiki iliyopita timu nne zilifanikiwa kutangulia hatua hiyo ya robo fainali, timu hizo ni Ajax, Tottenham, FC Porto na Man United, wakati huo Real Madrid, Borrusia Dortmund, AS Roma na PSG wakiyaaga mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |