Mratibu wa matawi hayo Kaisi Mwasongwe amesema wanaamini mkutano huo ndio utatoa majibu ya sintofahamu inayoendelea kuhusu uchaguzi wa klabu hiyo.
Amesema wanaamini rais Magufuli yupo kwa ajili ya wananchi wote kwakuwa ndio waliomchagua, na kwamba wamechoshwa na propaganda za wenye dhamana ya kusimamia michezo juu ya uchaguzi mkuu wa Yanga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |