Buza inaongoza msimamo wa ligi hiyo kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa mbele ya timu za Tabata Souls, Friends Rangers, Six Home City na Friends of Mkwajuni ambazo nazo ziliibuka na ushindi kwenye mechi za raundi ya kwanza.
Michezo mingine ya ligi hiyo itaendelea jumamosi na jumapili hii kwenye uwanja wa Karume, ligi hiyo inashirikisha jumla ya timu 12 kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |