Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Balozi wa Morocco nchini Tanzania, Abdelillah Benry.
Uwanja huo unatarajia kujengwa eneo la Nara Jijini Dodoma, barabara ya kuelekea Singida ambapo jumla ya hekari 143 zimetengwa. Unatarajia kugharimu Tsh bilioni 56 na ukiwa na uwezo wa kubeba watazamaji 85,000.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |