mechi ya awali Arsenal walipoteza kwa mabao 3-1 wiki iliyopita dhidi ya club ya Rennes inayoaminika kuwa ya kawaida kutoka ligi ya Ufaransa.
Kwingineko klabu ya Chelsea aka the blues imefanya mauaji kwa kuipiga mabao 5-0 Dynamo Kyiv. Nao Benfica imeshinda kwa goli 3-0 dhidi ya Dinamo Zagreb, FC Krasnodar imeilazimisha sare ya 1-1 Valencia, nayo Napoli imekubali kipigo cha 3-1 toka kwa Salzburg, huku Inter Milan ikifungwa goli 1-0 na Eintracht Frankfurt. Slavia Prague wao wameibamiza Sevilla bao 4-3 nao Villarreal ikiibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Zenith St. Petersburg.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |