Pambano lililotokea Jumapili kaskazini mwa Iraq limesababisha vifo vya wanajeshi wawili na wanamgambo watano wa chama cha wafanyakazi wa kikurdi PKK wamejeruhiwa. Mwanajeshi mmoja aliwataka wanamgambo hao wa PKK kuonyesha kibali chao cha kupita katika kituo cha ukaguzi kabla ya magari ya PKK kumparamia mwanajeshi huyo na kusababisha pambano hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |