Mtuhumiwa wa shambulizi la risasi lililosababisha vifo vya watu watatu na wengine watano kujeruhiwa katika treni ya umeme mjini Utrecht, Uholanzi amekamatwa. Kabla ya kukamatwa kwake, polisi wa Uholanzi walimtaja mtuhumiwa kuwa ni mwanaume anayetambulika kwa jina la Gokmen Tanis mwenye umri wa miaka 37, aliyezaliwa nchini Uturuki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |