Kaimu mkurungezi wa mamlaka hiyo Daniel Manduku amesema watu wote wanaoagiza sukari, mchele, chuma, nguo kuu kuu na bidhaa nyingine kusafirisha kwa treni hadi kwenye kituo cha Nairobi.
Kontena moja ya futi 20 husafirishwa kwa dola 500 kwa treni kutoka Mombasa hadi mji mkuu Nairobi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |