Duru za usalama zimesema ndege za kivita za Israel zimefanya shambulizi la anga dhidi ya miundo ya kijeshi inayomilikuwa na kundi la Hamas lakini hakuna wahanga walioripotiwa. Wakati huohuo madaktari wamesema waandamanaji 13 wa Palestina walijeruhiwa jana usiku walipopambana na askari wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, karibu na mpaka wa Israel.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |