James Harden ameendelea kufanya vizuri na kfanikiwa na timu yake ya Huston Rockets kuweka rekodi mbalimbali katika ligi ya kikapu ya Marekani inayojulikana kama NBA kutokana na kiwango chake kikubwa anachoendelea kukionyesha msimu huu.
Harden amekuwa mchezaji wa kwanza wa ligi hiyo kuweka historia ya kufunga alama 30, na kutoa usaidizi yaani assists alama 10 na alama 8 za umaliziaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |