Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amefunga akaunti zake katika mitandao ya kijamii hii leo, akisema zimedukuliwa na watu wasiojulikana.
Kabla ya kufunga akaunti hizo, rais Kenyatta aliweka ujumbe kwenye akaunti yake za Twitter na Facebook, akiahidi kupambana na maofisa mafisadi, akisema hatavumilia hata marafiki zake, ujumbe ambao ulipokelewa kwa hisia kali.
Rais Kenyatta ameahidi kuongeza nguvu katika vita dhidi ya ufisadi wakati wa muhula wake wa pili na wa mwisho madarakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |