Wafungwa wa Kundi la Hamas la Palestina wameshambulia askari wa Israel kwenye gereza la Ktzi'ot kusini mwa Israel, na kuwajeruhi wawili kwa kuwachoma kwa kisu.
Wiki iliyopita wafungwa hao walichoma moto magodoro yao ili kupinga gereza hilo kukatiwa mawasiliano yao ya simu na nje. Kutokana na takwimu zilizotolewa na serikali, jumla ya wapalestina 6,000 wanashikiliwa katika magereza ya Israel.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |