Kocha wa timu hiyo Tolbert Onyango ameita wachezaji nane kujiunga na timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki michuano hiyo. Onyango amebainisha kuwa timu hiyo itaenda kushiriki michuano ya rugby wachezaji 7 kila upande nchini Zimbabwe kabla ya kuondoka March 31 kuelekea Hong Kong.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |