JPM amewapa zawadi ya viwanja katika mji wa Dodoma yalipo makao makuu ya nchi hiyo, kwa wachezaji wote wa taifa stars pamoja na bondia Hassan Mwakinyo na mwalimu wake sambamba na wachezaji wawili wa zamani wa Tanzania Peter Tino na Leordiga Tenga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |