Waziri mkuu wa Uingereza Bibi Theresa May amesema "bado hakuna uungaji mkono wenye ufanisi" katika Baraza la Makabwela kwa ajili ya kuyapigia kura kwa mara ya tatu makubaliano yake ya Brexit. Amesema hayo kwenye Baraza hilo wakati Kamisheni ya Umoja wa Ulaya kutangaza kuwa ilikuwa imemaliza maandalizi kuhusu uwezekano wa Brexit isiyo na makubaliano tarehe 12, Aprili, na kuonya kuwa uwezekano huo unaongezeka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |