Aliongeza kuwa kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafirisha bidhaa zake katika masoko muhimu duniani yakiwamo ya Afrika ya Mashariki na Kusini, Mashariki ya Kati, Marekani na Ulaya.
Amesisitiza kuwa mfumo wa Utendaji wa CSTC ni kukuza mazao yenye ubora wa hali ya juu katika mashamba makubwa yenye ufanisi na kusimamiwa na CSTC. CSTC ilianza kufanya kazi mwaka 2012, nchini humo ikiwa na wafanyakazi zaidi ya 400 ambao kati yao asilimia 97 ni Watanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |