Kutokana na umaarufu huo, baadhi ya wadau wamejitokeza, wakitaka kuinunua jezi yake kwa gharama yoyote ile, tukio hilo limetokeza nchini Uhispania, alipokwenda kushiriki mashindano ya ya mbio za nyika ya kilomita 10.
Giniki amesema anamatumaini ya kushiriki na kufanya vizuri katika mbio za nyika zinazotarajiwa kufanyika Machi 30 mwaka huu nchini Denmark na kwamba, mashindano hayo yatazidi kumjenda kwa ajili ya kushiriki mashindano mengine ya kimataifa, ambayo yapo mbele yake yakiwamo Olimpiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |