Timu ya taifa ya wanawake ya Angola imejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho hivyo mchezo wao uliokuwa upigwe Aprili mosi dhidi ya timu ya taifa ya Zambia hautokuwepo.
Fainali za michuano hiyo zitafanyika Januari 13 mwakani na kupata mshindi atakashiriki michuano ya Olimpiki itakayofanyika Tokyo Japan mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |