Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameanza ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini Kenya hii leo, ikiwa ni sehemu ya kuboresha uhusiano wa pande mbili kati ya nchi hizo.
Rais Museveni ambaye aliwasili mjini Mombasa, anatarajiwa kufanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, na baadaye kuhudhuria mazungumzo ya kibiashara na ujumbe wa nchi hizo mbili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |