Wakizungumza na waandishi wa habari, mmoja wa wachezaji wa timu ya Twiga Stars Fatuma Mustapha amesema, wapo tayari kuwakilisha na kupeperusha vyema bendera ya Tanzania na kuwataka mashabiki kujazana kwa wingi kwani watawaonyesha burudani ya kutosha.
Nao Les Leopards wanaendelea na kambi mjini Goma Kaskazini mwa Kivu wakijifua kwa michezo kadhaa ya kirafiki ikiwemo na timu ya taifa ya Rwanda. Jumla ya wachezaji 26 wameitwa kwenye kambi hiyo.
Mchezo wa marudiano utapigwa April 9 jijini Kinshasa DRC.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |