Wawili hao kwa sasa watakuwa sehemu ya kikosi kitakachopeperusha bendera ya Kenya kwenye michuano ya shirikisho la riadha Afrika (CAA) kwa wanariadha wasiozidi umri wa miaka 20.
Mbio hizo zitaandaliwa jijini Abidjan, Ivory Coast kati ya Aprili 13 hadi 20 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |