Vipusa hao wa Pipeline, ambao ndio timu ya pekee kutoka Kenya iliyofika robo fainali mwaka huu, walisherekea ushindi huo baada ya kutwaa medali hiyo waliyovuna kwa kulemea Petroliers kwa alama 25-22, 25-17, 25-18 katika mechi ya kusisimua ya kutafuta mshindi wa tatu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |