Tanzania itakuwa mwenyeji wa michuano hiyo ya AFCON 2019-U17 itakayofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam April 14 hadi 28. Katika kujiandaa na fainali hizo, mataifa matatu yapo nchini Rwanda kushiriki mashindano hayo maalumu ya wiki tatu tu ambayo ni wenyeji Rwanda, Tanzania na Cameroon.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |